Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA MWANDISHI MKUU WA SHERIA

Uadilifu

Imewekwa: 22 August, 2024
Uadilifu

Tunazingatia uaminifu, kanuni thabiti za maadili na bidii katika kuhudumia taifa. Daima tunajitahidi kuzingatia kanuni za utawala bora.