Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

OFISI YA MWANDISHI MKUU WA SHERIA

Je, jukumu la Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria (OMMS) ni lipi?.

Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria ina jukumu la kuandaa, kutafsiri, kurekebu na kuhakiki sheria ili kuhakikisha usahihi wa kisheria, uwiano na Katiba na sheria nyingine za Tanzania